Siri ya Ushairi

Authors

Mahero B. Toboso
Mosol Kandagor

Synopsis

Diwani ya Siri ya Ushairi ni kitabu chenye manufaa makubwa c kwa walimu, wahadhiri na wanafunzi katika viwango nyote vya masomo. c Kitabu hiki kinapambanua kwa kina masuala ya ushairi yaliyo sehemu ya mitaala ya shule za upili pamoja na vyuo vikuu. Sura ya kumi ya kitabu hiki imebeba mkusanyiko wa mashairi ya kimapokeo na ya kimapinduzi yanayoangaza masuala yanayoathiri c jamii. c Mashairi haya yametumia mitindo anuwai ya kibunifu na yanawapa wahakiki fursa ya kutalii mitindo c mbalimbali ya kuwasilishia maudhui katika mashairi.

References

Utafiti Academic Press

Published

2024