Dafina ya Fasihi Simulizi: Vipera na Mbinu za Ufundishaji

Authors

Murunga Felicity
Wanyonyi W. David
Biwott K. Anthony

Synopsis

Dafina ya Fasihi Simulizi ni kitabu kinachochunguza vipengele vya kimsingi vya fasihi simulizi. Vipengele vifuatavyo vimezingatiwa kwa kina: Dhana ya fasihi simulizi, Maana na sifa za tanzu za fasihi simulizi, Utafiti nyanjani, Ufundishaji wa fasihi simulizi na Nadharia za ufndishaji wa lugha ya pili. Kitabu hiki kitawafaidi wanafunzi, walimu, watafiti, na wapenzi wa lugha ya Kiswahili ili waweze kuelewa na kufurahia fasihi simulizi. Kitabu hiki ni tunu kwa wanafunzi na walimu katika kila daraja: shule za msingi, za upili, na hata vyuo vikuu. Hii ni DAFINA kuu kwa wapenzi wa lugha na fasihi kwa Kiswahili.

Utafiti Academic Press

Published

2014

Categories